MASOMO YA MISA
DOMINIKA YA 5
Mwaka C wa Kanisa
Somo la Injili:Lk 5:1-11
Ikawa makutano walipomsonga wakilisikiliza neno la Mungu, yeye alikuwa amesimama kando ya ziwa la Genesareti, akaona vyombo viwili vimekaa kando ya ziwa, lakini wavuvi wametoka, wanaosha nyavu zao. Akaingia katika chombo kimoja, ndicho chake Simoni, akamtaka akipeleke mbali kidogo na pwani. Akaketi, akawafundisha makutano ali chomboni. >Read more
LATEST EVENTS
DARAJA TAKATIFU YA USHEMASI 7 January


ASKOFU MLOLA, MIAKA 10 YA UASKOFU

Posted on : July 18, 2024
Askofu Joseph R. Mlola ALCP/OSS wa Jimbo la Kigoma atimiza miaka 10 ya uaskofu na utume wake jimboni Kigoma.,...Read More
IBADA YA UTEUZI
Posted on : Jul 17, 2024
Masifu ya jioni kabla ya sherehe ya upadrisho”. Masifu ya jion yalifanyika katika...Read More
SHEREHE YA UWUKI

Posted on : Nov 21, 2023
Pongezi kwa Wajubileani wa miaka 25 katika utume, Upadre na Utawa. Tarehe 19 Octoba 2023, kulifanyika...Read More
PRIEST'S ANNUAL RETREAT

Posted on : Nov 15, 2023
from October 2 to October 6, priests who work in the Diocese had a moment of prayer, meditation and a rest in the time of their retreat which was done,....Read More
UPADIRISHO

Posted on : Nov 11, 2023
7 Julai 2023, mama kan isa jimbo la kigoma alijipatia mapadre wapya watano. Kwa kuweka wakfu na mhashamu Askof Joseph Roman Mlola, ALCP/OSS Askofu wa jimbo,...Read More
KIGOMA CATHOLIC DIOCESE LEADERSHIP

Fr. Achileus Narcis Charukula
Chancellor
Fr. Esperius Hamenyande
Treasure GeneralLATEST VIDEOS
WIMBO WA KUMPONGEZA ASKOFU
Watoto shirika la mtoto Yesu
JUBILEI YA JUMUIYA NDOGONDOGO
Sherehe ya jubilei ya jumuiya ndogondogo parokia ya Bikira Maria Msindaji Kigoma